
The episode discusses the rights of traders in the Gikomba market in Kenya and their ongoing disputes with the government over land issues.
Katika makala haya tunaangazia haki za wafanyibiashara katika soko la Gikomba nchini Kenya. Kwa muda wafanyibiashara hao wamekuwa wakizozana na serikali kuhusu kipande cha ardhi cha soko hiyo. Skiza makala haya kufamu mengi zaidi.
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Jua Haki Zako podcast page.