Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa

Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa

March 31, 2026 · 10 min

About this episode

The episode discusses a report on disaster funding and climate change in arid areas of Kenya, highlighting the lack of direct financial support to affected communities.

Katika makala haya tunaangazia ripoti kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya, Ripoti hii inaonyesha kuwa licha ya maeneo haya kuathirika zaidi na ukame, mafuriko na mabadiliko ya tabianchi, bado fedha nyingi hazifiki moja kwa moja kwa wananchi wanaohitaji msaada huo zaidi. Ripoti hiyo ya Oxafarm inaonyesha kuwa mfumo wa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado una changamoto nyingi, ikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii, na utegemezi mkubwa wa fedha kutoka nje masharika ya nje

Topics covered

More episodes of Jua Haki Zako

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Jua Haki Zako podcast page.