
Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa
From Jua Haki Zako by RFI Kiswahili
March 31, 2026 · 10 min
About this episode
The episode discusses a report on disaster funding and climate change in arid areas of Kenya, highlighting the lack of direct financial support to affected communities.
Katika makala haya tunaangazia ripoti kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya, Ripoti hii inaonyesha kuwa licha ya maeneo haya kuathirika zaidi na ukame, mafuriko na mabadiliko ya tabianchi, bado fedha nyingi hazifiki moja kwa moja kwa wananchi wanaohitaji msaada huo zaidi. Ripoti hiyo ya Oxafarm inaonyesha kuwa mfumo wa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado una changamoto nyingi, ikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii, na utegemezi mkubwa wa fedha kutoka nje masharika ya nje
Topics covered
- disaster funding
- climate change
- Kenya
- community involvement
- transparency
Keywords
- Oxfam
- funding challenges
- climate change impact
- community engagement
- external funding dependency
Mentioned in this episode
Places: Kenya
More episodes of Jua Haki Zako
- Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utotoni zapata sura mpya · June 10, 2026 · 10 min
- Kenya : Ukatili wa kijinsia kizungu mkuti · June 8, 2026 · 9 min
- KENYA: Dhulma wanazopitia kina mama mtaani Mathare · May 30, 2026 · 10 min
- Kenya: Haki ya wanamziki chipukizi ndani ya Eleve8 · May 25, 2026 · 10 min
- Siku ya Mama duniani, je unamtambua mama · May 15, 2026 · 10 min
- Kenya : Uhuru wa wanahabari si mjadala · May 11, 2026 · 10 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Jua Haki Zako podcast page.