Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa

Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa

April 17, 2026 · 10 min

About this episode

The episode discusses the challenges faced by women in international business in Kenya, including discrimination and denial of rights.

Licha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha na biashara za kimataifa nchini Kenya, wengi wao bado wanakumbana na changamoto kubwa,ikiwemo kudhalilishwa, ubaguzi wa kijinsia na kunyimwa haki zao za msingi wanapojaribu kuingia au kushindana katika masoko ya nje. Katika maeneo ya mashambani hadi mipakani, wanawake hawa wanapambana si tu kukuza biashara zao, bali pia kupigania heshima na nafasi sawa katika soko la kimataifa. Makala haya yanaangazia wanawake hao.

Topics covered

More episodes of Jua Haki Zako

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Jua Haki Zako podcast page.