TANAPA PODCAST EPISODE 10 - MAANDALIZI YA TWENZETU KILELENI 2025 NA PROF. KAMUZORA

TANAPA PODCAST EPISODE 10 - MAANDALIZI YA TWENZETU KILELENI 2025 NA PROF. KAMUZORA

October 9, 2025 · 45 min · Episode 10

About this episode

The episode discusses the climbing of Mount Kilimanjaro and the importance of participating in the Twenzetu Kileleni campaign.

Episodi hii inaangazia mazungumzo ya kina kuhusu zoezi la upandaji wa Mlima Kilimanjaro ambapo Profesa Kamuzora anaeleza uzoefu wake katika kupanda mlima kwa muda mrefu. Fahamu faida ya kushiriki kampeni ya “Twenzetu Kileleni katika kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru wa Taifa letu, kuhamasisha utalii pamoja na utunzaji wa mazingira. Host: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena - Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano - TANAPA Guest: Prof. Faustin Kamuzora - Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi UTT AMIS.

People in this episode

Host: Catherine Mbena

Guest: Prof. Faustin Kamuzora

Topics covered

Keywords

Mentioned in this episode

Organizations: Tanzania National Parks

Places: Mlima Kilimanjaro

More episodes of TANAPA PODCAST

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the TANAPA PODCAST podcast page.