
Human Right Watch : Haki zinakandamizwa pembe ya Africa
From Jua Haki Zako by RFI Kiswahili
February 9, 2026 · 10 min
About this episode
This episode discusses a Human Rights Watch report on the alarming human rights situation in the Horn of Africa.
Makala haya yanaangazia ripoti ya Human Rights Watch iliyochapishwa tarehe 4 Februari 2026, inayozungumzia hali ya kutisha ya haki za binadamu katika eneo la Pembe ya Africa. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa raia wa Sudan , Sudan Kusini na Ethiopia ndio wanaobeba mzigo mkubwa wa vita vya silaha vinavyoendeshwa kwa ukatili, ambapo pande zinazopigana mara nyingi hulenga raia kimakusudi. Human Rights Watch inasema mashambulizi haya dhidi ya raia yamekuwa jambo la kawaida, huku wahusika wakikosa kuwajibishwa. Kufahamu mengi skiza makala haya.
Topics covered
- human rights
- Africa
- conflict
- reporting
- accountability
Keywords
- Human Rights Watch
- Pembe ya Africa
- Sudan
- Sudan Kusini
- Ethiopia
- haki za binadamu
- mashambulizi dhidi ya raia
- ukosefu wa uwajibikaji
Mentioned in this episode
Places: pembe ya Africa, Sudan, Ethiopia
More episodes of Jua Haki Zako
- Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utotoni zapata sura mpya · June 10, 2026 · 10 min
- Kenya : Ukatili wa kijinsia kizungu mkuti · June 8, 2026 · 9 min
- KENYA: Dhulma wanazopitia kina mama mtaani Mathare · May 30, 2026 · 10 min
- Kenya: Haki ya wanamziki chipukizi ndani ya Eleve8 · May 25, 2026 · 10 min
- Siku ya Mama duniani, je unamtambua mama · May 15, 2026 · 10 min
- Kenya : Uhuru wa wanahabari si mjadala · May 11, 2026 · 10 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Jua Haki Zako podcast page.