
Hatau ya Marekani kujiondo kwenye mikataba ya mazingir na tabianchi na athari zake
From Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho by RFI Kiswahili
February 15, 2026 · 10 min
About this episode
The episode discusses the implications of the US withdrawal from international climate agreements under Trump's administration.
Aliporejea madarakani Januari 20 2025, kwa mara ya pili Trump aliiondoa Marekani katika mkataba wa tabianchi wa Paris wa 2015. Mwaka wa 2025, Washington haikuwatuma maafisa wake wa juu katika mkutano wa tabianchi wa COP30, uliofanyika Belem, Brazil. Na sasa wiki chache zilizopita, utawala wa Trump ulitangaza kuiondoa Marekani katika mashirika 66 ya kimataifa, ikiwemo ile ya UNFCCC.
Topics covered
- climate change
- international agreements
- politics
- environmental policy
- US foreign policy
Keywords
- Trump
- Paris Agreement
- COP30
- UNFCCC
- international organizations
Mentioned in this episode
Places: Paris, Washington, Brazil, ikiwemo ile
More episodes of Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
- Sera za Mipango miji barani Afrika zinazingatia ustahimilivu wa majanga mijini? · April 20, 2026 · 10 min
- Ukulima wa mianzi katika kutunza mazingira ya mito nchini Kenya. · April 10, 2026 · 10 min
- Manufaa ya ardhi oevu ya Ondiri kwa jamii ya kikuyu · April 1, 2026 · 10 min
- Uhifadhi wa kinamasi cha Ondiri mjini Kikuyu, nchini Kenya · March 24, 2026 · 10 min
- Matumizi ya mitego ya wadudu inayotumia sola yaboresha parachichi na mazingira · February 24, 2026 · 10 min
- Jukumu la redio katika kuelimisha kuhusu mazingira na tabianchi · February 17, 2026 · 10 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho podcast page.