Hatau ya Marekani kujiondo kwenye mikataba ya mazingir na tabianchi na athari zake

Hatau ya Marekani kujiondo kwenye mikataba ya mazingir na tabianchi na athari zake

From Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho by RFI Kiswahili

February 15, 2026 · 10 min

About this episode

The episode discusses the implications of the US withdrawal from international climate agreements under Trump's administration.

Aliporejea madarakani Januari 20 2025, kwa mara ya pili Trump aliiondoa Marekani katika mkataba wa tabianchi wa Paris wa 2015. Mwaka wa 2025, Washington haikuwatuma maafisa wake wa juu katika mkutano wa tabianchi wa COP30, uliofanyika Belem, Brazil. Na sasa wiki chache zilizopita, utawala wa Trump ulitangaza kuiondoa Marekani katika mashirika 66 ya kimataifa, ikiwemo ile ya UNFCCC.

Topics covered

  • climate change
  • international agreements
  • politics
  • environmental policy
  • US foreign policy

Keywords

  • Trump
  • Paris Agreement
  • COP30
  • UNFCCC
  • international organizations

Mentioned in this episode

Places: Paris, Washington, Brazil, ikiwemo ile

More episodes of Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho podcast page.