08 JUNI 2026

08 JUNI 2026

From Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu by United Nations

June 8, 2026 · 10 min

About this episode

The episode discusses the UN Secretary-General's message on World Oceans Day and highlights climate change actions in Zanzibar, along with a feature on Kenyan rugby player Kevin Wekesa.

Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu kuhusu siku ya baharí duniani na kumulika ni hatua gani Zanziba zinachukua kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Pia tunakwenda nchini Kenya kufuatilia simulizi ya mchezaji wa raga.Bahari duniani zinakabiliwa na changamoto kubwa zinazotishia afya ya mazingira na ustawi wa binadamu, ameonya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres na kutoa wito wa hatua za haraka na za pamoja kukabiliana na hali hiyo.Jamii katika mkoa wa Kaskazini Unguja huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania wanaadhimisha siku ya bahari hii leo Umoja wa Mataifa ukielezea dhahiri mafanikio ya mradi wa uhifadhi wa mikoko na ufugaji wa nyuki unaochagiza sio tu upatikanaji endelevu wa kipato bali pia uhifadhi wa mazingira na bahari.Nyota wa mchezo wa raga ama rugby, Kevin Wekesa kutoka nchini Kenya ambaye alishiriki Michezo ya Olimpiki jijini Paris Ufaransa mwaka 2024, ameeleza nia yake ya kufanya vizuri uwanjani huku akitumia umaarufu wake kuhifadhi mazingira na kuhamasisha hatua endelevu kupitia michezo ili kujenga dunia yenye mnepo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

People in this episode

Host: Leah Mushi

Guest: Kevin Wekesa

Topics covered

  • siku ya baharí
  • mabadiliko ya tabianchi
  • uhifadhi wa mazingira
  • michezo
  • rugby
  • Zanzibar
  • Kenya

Keywords

  • baharí
  • mabadiliko ya tabianchi
  • Zanzibar
  • Kenya
  • rugby
  • António Guterres
  • Kevin Wekesa
  • uhifadhi wa mazingira
  • michezo
  • siku ya baharí

Mentioned in this episode

Organizations: Umoja wa Mataifa

Places: Zanzibar, Kenya, Kaskazini Unguja, Paris

More episodes of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu podcast page.