
Kevin Wekesa ambaye ni nyota wa raga anaongoza uchechemuzi wa mazingira kupitia michezo
From Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu by United Nations
June 8, 2026 · 3 min
About this episode
Kevin Wekesa discusses his commitment to environmental conservation through sports.
Nyota wa mchezo wa raga ama rugby, Kevin Wekesa kutoka nchini Kenya ambaye alishiriki Michezo ya Olimpiki jijini Paris Ufaransa mwaka 2024, ameeleza nia yake ya kufanya vizuri uwanjani huku akitumia umaarufu wake kuhifadhi mazingira na kuhamasisha hatua endelevu kupitia michezo ili kujenga dunia yenye mnepo. Rashid Wekesa na taarifa zaidi.
People in this episode
Host: Rashid Wekesa
Guest: Kevin Wekesa
Topics covered
- environment
- sports
- sustainability
- rugby
- Olympics
Keywords
- Kevin Wekesa
- rugby
- environment
- sustainability
- Olympics
- Kenya
- Paris
Mentioned in this episode
Places: Kenya, Paris, Ufaransa
More episodes of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
- 12 JUNI 2026 · June 12, 2026 · 10 min
- Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Lililo lujani ni la lusu” · June 11, 2026
- 11 JUNI 2026 · June 11, 2026 · 11 min
- 10 JUNI 2026 · June 10, 2026 · 10 min
- Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "MKWARUZO." · June 9, 2026
- 09 JUNI 2026 · June 9, 2026 · 10 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu podcast page.