
Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso
From Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu by United Nations
April 29, 2026 · 3 min
About this episode
The episode features a young man honoring his father, a UN worker killed during the Rwandan Genocide, amidst the 100-day commemoration of the tragedy.
Siku 100 za maombelezo ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda dhidi ya Watutsi yaliyofanyika yapata miaka 32 iliyopita zikiendelea . Leo tunakupeleka mjini Kigali nchini Rwanda kwenye Ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwake Eugene Uwimana afisa habari wa ofisi hiyo ili kupata simulizi ya ya kijana anayemuenzi baba yake aliyekuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa ambaye aliuawa katika mauaji hayo ya kimbari. Jina la baba huyo ni Emmanuel Turatsinze
People in this episode
Guest: Rwibutso
Topics covered
- Rwanda Genocide
- Commemoration
- Personal Stories
- United Nations
- Kigali
Keywords
- Rwanda
- genocide
- commemoration
- United Nations
- Kigali
- personal story
- Emmanuel Turatsinze
Mentioned in this episode
Places: Rwanda
More episodes of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
- 12 JUNI 2026 · June 12, 2026 · 10 min
- Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Lililo lujani ni la lusu” · June 11, 2026
- 11 JUNI 2026 · June 11, 2026 · 11 min
- 10 JUNI 2026 · June 10, 2026 · 10 min
- Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "MKWARUZO." · June 9, 2026
- 09 JUNI 2026 · June 9, 2026 · 10 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu podcast page.