Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso

Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso

From Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu by United Nations

April 29, 2026 · 3 min

About this episode

The episode features a young man honoring his father, a UN worker killed during the Rwandan Genocide, amidst the 100-day commemoration of the tragedy.

Siku 100 za maombelezo ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda dhidi ya Watutsi yaliyofanyika yapata miaka 32 iliyopita zikiendelea . Leo tunakupeleka mjini Kigali nchini Rwanda kwenye Ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwake Eugene Uwimana afisa habari wa ofisi hiyo ili kupata simulizi ya ya kijana anayemuenzi baba yake aliyekuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa ambaye aliuawa katika mauaji hayo ya kimbari. Jina la baba huyo ni Emmanuel Turatsinze

People in this episode

Guest: Rwibutso

Topics covered

  • Rwanda Genocide
  • Commemoration
  • Personal Stories
  • United Nations
  • Kigali

Keywords

  • Rwanda
  • genocide
  • commemoration
  • United Nations
  • Kigali
  • personal story
  • Emmanuel Turatsinze

Mentioned in this episode

Places: Rwanda

More episodes of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu podcast page.