
Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama
From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili
March 26, 2026 · 20 min
About this episode
The episode discusses the rise in global oil prices, the agreement between DRC and Rwanda to reduce hostilities, and other significant events in the region.
Miongoni mwa matukio makubwa ni pamoja na mwendelezo wa mashambulizi ya Marelkani na Israeli huko Iran, na nchi za Ghuba, huku bei ya mafuta na gesi ikipanda, DRC na Rwanda zilikubaliana kupunguza uhasama wao, rais wa Kenya William Ruto alizindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR katika eneo la magharibi mwa nchi yake, hali ya nchini Sudan na Senegal yavuliwa ubingwa AFCON, Morocco ilitangazwa mshindi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka
Topics covered
- oil prices
- DRC
- Rwanda
- Kenya
- AFCON
Keywords
- oil prices
- DRC
- Rwanda
- Kenya
- AFCON
- Iran
- Israel
- Gulf countries
- modern railway
- Morocco
Mentioned in this episode
Places: Iran, Ghuba, Bei ya mafuta, DRC, Rwanda, rais wa, Kenya, hali ya nchini, Sudan na Senegal, ubingwa AFCON
More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
- Kifo tatanishi cha waziri wa habari wa Burundi, Iran na Marekani zatunishiana misuli · April 18, 2026 · 20 min
- Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon · April 11, 2026 · 20 min
- Waasi wa ADF waua 40 mashariki mwa DRC, Iran yapuuzi vitisho vya Trump · April 4, 2026 · 20 min
- UN yasikitishwa na hali mashariki mwa DRC, miili 33 yagunduliwa nchini Kenya · March 28, 2026 · 20 min
- Mashambulio yaendelea mashariki ya kati na mauaji ya mfanyakazi wa UNICEF DRC · March 14, 2026 · 20 min
- Jeshi la Rwanda lawekewa vikwazo, Israeli na Marekani zashambulia Iran · March 7, 2026 · 20 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.