Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama

Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama

From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

March 26, 2026 · 20 min

About this episode

The episode discusses the rise in global oil prices, the agreement between DRC and Rwanda to reduce hostilities, and other significant events in the region.

Miongoni mwa matukio makubwa ni pamoja na mwendelezo wa mashambulizi ya Marelkani na Israeli huko Iran, na nchi za Ghuba, huku bei ya mafuta na gesi ikipanda, DRC na Rwanda zilikubaliana kupunguza uhasama wao, rais wa Kenya William Ruto alizindua ujenzi wa reli ya kisasa SGR katika eneo la magharibi mwa nchi yake, hali ya nchini Sudan na Senegal yavuliwa ubingwa AFCON, Morocco ilitangazwa mshindi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka

Topics covered

  • oil prices
  • DRC
  • Rwanda
  • Kenya
  • AFCON

Keywords

  • oil prices
  • DRC
  • Rwanda
  • Kenya
  • AFCON
  • Iran
  • Israel
  • Gulf countries
  • modern railway
  • Morocco

Mentioned in this episode

Places: Iran, Ghuba, Bei ya mafuta, DRC, Rwanda, rais wa, Kenya, hali ya nchini, Sudan na Senegal, ubingwa AFCON

More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.