Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon

Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon

From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

April 11, 2026 · 20 min

About this episode

The episode discusses the commemoration of the Rwandan genocide, political developments in various African countries, and Israeli military actions in Lebanon.

Maadhimisho ya siku 100 maarufu kama kwibuka kukumbuka mauaji ya mwaka 1994 nchini Rwanda, mwanadiplomasia wa Marekani James Swan kuanza kazi kama mkuu wa Monusco huko DRC, mazungumzo kati ya serikali ya nchi hiyo na waasi wa M23 kufanyika kule Geneva Uswiz chini ya upatanishi wa Qatar, hali ya kisiasa nchini Kenya na Tanzania, na sudan; kampeni za uchaguzi mkuu nchini Benin kutamatishwa kuelekea siku ya jumapili ya aprili 12 na mashambulizi ya jeshi la Israeli huko Lebanon

Topics covered

  • Rwanda
  • genocide
  • politics
  • Middle East
  • elections

Keywords

  • Rwanda
  • genocide
  • James Swan
  • Monusco
  • M23
  • Geneva
  • Kenya
  • Tanzania
  • Benin
  • Israeli attacks

Mentioned in this episode

Places: Lebanon, Rwanda, Monusco, DRC, Geneva, Qatar, Kenya, Tanzania, sudan

More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.