
Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon
From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili
April 11, 2026 · 20 min
About this episode
The episode discusses the commemoration of the Rwandan genocide, political developments in various African countries, and Israeli military actions in Lebanon.
Maadhimisho ya siku 100 maarufu kama kwibuka kukumbuka mauaji ya mwaka 1994 nchini Rwanda, mwanadiplomasia wa Marekani James Swan kuanza kazi kama mkuu wa Monusco huko DRC, mazungumzo kati ya serikali ya nchi hiyo na waasi wa M23 kufanyika kule Geneva Uswiz chini ya upatanishi wa Qatar, hali ya kisiasa nchini Kenya na Tanzania, na sudan; kampeni za uchaguzi mkuu nchini Benin kutamatishwa kuelekea siku ya jumapili ya aprili 12 na mashambulizi ya jeshi la Israeli huko Lebanon
Topics covered
- Rwanda
- genocide
- politics
- Middle East
- elections
Keywords
- Rwanda
- genocide
- James Swan
- Monusco
- M23
- Geneva
- Kenya
- Tanzania
- Benin
- Israeli attacks
Mentioned in this episode
Places: Lebanon, Rwanda, Monusco, DRC, Geneva, Qatar, Kenya, Tanzania, sudan
More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
- Kifo tatanishi cha waziri wa habari wa Burundi, Iran na Marekani zatunishiana misuli · April 18, 2026 · 20 min
- Waasi wa ADF waua 40 mashariki mwa DRC, Iran yapuuzi vitisho vya Trump · April 4, 2026 · 20 min
- UN yasikitishwa na hali mashariki mwa DRC, miili 33 yagunduliwa nchini Kenya · March 28, 2026 · 20 min
- Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama · March 26, 2026 · 20 min
- Mashambulio yaendelea mashariki ya kati na mauaji ya mfanyakazi wa UNICEF DRC · March 14, 2026 · 20 min
- Jeshi la Rwanda lawekewa vikwazo, Israeli na Marekani zashambulia Iran · March 7, 2026 · 20 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.