
Ndayishimiye ndiye mwenyekiti mpya wa AU, ujumbe wa EU wazuru mashariki ya DRC
From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili
February 23, 2026 · 20 min
About this episode
The episode discusses Évariste Ndayishimiye's election as the new chairperson of the African Union and various international events including a European Union visit to DRC and issues surrounding African youth.
Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU) mwaka 2026, ziara ya ujumbe wa Umoja wa Ulaya huko DRC, vijana wa Afrika wahadaiwa kupewa kazi nzuri Urusi, na kulazimishwa kupigana vita Ukraine, raia 18 wa Senegal na mmoja kutoka Ufaransa wahukumiwa kwa kuzua fujo wakati wa mechi ya fainali AFCON jijini Rabat. Mkutano wa kimataifa kati ya India na Ufaransa kuhusu akili mnemba, pia tishio la Trump kuishambulia Iran
Topics covered
- politics
- international relations
- youth issues
- sports
- technology
Keywords
- Évariste Ndayishimiye
- African Union
- European Union
- DRC
- AFCON
- Ukraine
- Trump
- Iran
Mentioned in this episode
Places: mashariki ya DRC, DRC, Ukraine, Senegal, Ufaransa, India, kuishambulia, Iran
More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
- Kifo tatanishi cha waziri wa habari wa Burundi, Iran na Marekani zatunishiana misuli · April 18, 2026 · 20 min
- Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon · April 11, 2026 · 20 min
- Waasi wa ADF waua 40 mashariki mwa DRC, Iran yapuuzi vitisho vya Trump · April 4, 2026 · 20 min
- UN yasikitishwa na hali mashariki mwa DRC, miili 33 yagunduliwa nchini Kenya · March 28, 2026 · 20 min
- Bei ya mafuta yapanda duniani, DRC na Rwanda kupunguza uhasama · March 26, 2026 · 20 min
- Mashambulio yaendelea mashariki ya kati na mauaji ya mfanyakazi wa UNICEF DRC · March 14, 2026 · 20 min
Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.