Ndayishimiye ndiye mwenyekiti mpya wa AU, ujumbe wa EU wazuru mashariki ya DRC

Ndayishimiye ndiye mwenyekiti mpya wa AU, ujumbe wa EU wazuru mashariki ya DRC

From Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii by RFI Kiswahili

February 23, 2026 · 20 min

About this episode

The episode discusses Évariste Ndayishimiye's election as the new chairperson of the African Union and various international events including a European Union visit to DRC and issues surrounding African youth.

Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU) mwaka 2026, ziara ya ujumbe wa Umoja wa Ulaya huko DRC, vijana wa Afrika wahadaiwa kupewa kazi nzuri Urusi, na kulazimishwa kupigana vita Ukraine, raia 18 wa Senegal na mmoja kutoka Ufaransa wahukumiwa kwa kuzua fujo wakati wa mechi ya fainali AFCON jijini Rabat. Mkutano wa kimataifa kati ya India na Ufaransa kuhusu akili mnemba, pia tishio la Trump kuishambulia Iran

Topics covered

  • politics
  • international relations
  • youth issues
  • sports
  • technology

Keywords

  • Évariste Ndayishimiye
  • African Union
  • European Union
  • DRC
  • AFCON
  • Ukraine
  • Trump
  • Iran

Mentioned in this episode

Places: mashariki ya DRC, DRC, Ukraine, Senegal, Ufaransa, India, kuishambulia, Iran

More episodes of Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Explore listener stats, chart rankings, contacts and more on the Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii podcast page.